Sunday, April 6, 2008

Kufuzu kwa Daudi Kwenda Olimpiki na Safari yenu ya Wingereza

Habari za leo? Nitaanza mfululizo wetu wa mada za blogu kwa muhula huu. Naanza kwa kumpongeza Daudi kwa dhati kwa kufaulu kujiunga na timu ya Kenya kwenda kwa michezo ya olimpiki mwaka huu. Pongezi.

Ningependa mkipata nafasi mtoe maelezo kuhusu safari yenu kwenda Wingereza pamoja na namna mashindano yenu yanavyoendelea. Aidha, nawatakia kila la heri huko.

Kwaherini.

No comments: