Juzi Waziri Mkuu wa Australia, John Howard, aliamua kusimamisha timu ya kriketi ya nchi hiyo kwenda kucheza nchini Zimbabwe. Howard anajua kwamba Mugabe anaupenda sana mchezo huu, kwa hivyo anadai kuwa timu ya Australia ikisafiri katika Zimbabwe, itasaidia siasa na urais wa Mugabe. Howard hataki kutetea maovu ya Mugabe.
Kwa kawaida mambo kuhusu michezo yanahitaji kuwa shughuli ya vyama vya michezo, lakini Howard alihisi kwamba alihitaji kuhusika (intervene). Je, unafikiri ni lazima uamuzi huu uwe ya chama cha kriketi cha Australia, ama unafikiri ni vizuri kuwa Waziri Mkuu aliingia kigambo hiki? Aidha, unafikiri kwamba jinsi nzuri ya kushinda Mugabe ni kuweka vikwazo (sanctions) kwa nchi hiyo ama kufanya hii itaongeza maumivu ya wananchi?
Monday, May 14, 2007
Sunday, May 6, 2007
Kusaidia Nchi ya Kenya
Kuna tofauti nyingi sana kati ya nchi ya Kenya na nchi za Kimagharibi. Kwa mfano barabara za Kenya zinaharibika na katika sehemu nyingi za Kenya hakuna barabara hasa barabara za lami. Pia katika sehemu nyingi za nchi hakuna umeme, gesi, petroli, hospitali, au maji safi. Je, unafikiri hivi ni vitu ambavyo ni lazima tuwasaidie watu wa Kenya au labda unafikiri kwamba tuache waendelea na desturi zao?
Kati ya nchi za Kimagharibi kuna mdahili kuhusu njia nzuri zaidi kusaidia nchi za Ulimwengu wa Tatu kama Kenya. Watu wachache walisema nchi za Kimagharibi ziipe Kenya pesa na ziambie kampuni za Kimagharibi kutega uchumi nchini Kenya. Lakini watu wengine wanasema kwamba njia nzuri zaidi ni kwa vyama vya kusaidia (kama Samaritan's Purse) na watu wenyewe waingie Kenya na kusaidia. Wanasema hivyo kwa sababu wanasema serikali ya Kenya ni fisadi na itapoteza pesa. Na watu wengine wanasema Kenya inaweza kujisaidia, ina pesa za kutosha na itasababisha taabu yenyewe. Wanasema pia ikiwa nchi za Kimagharibi watasaidia Kenya, watu wa Kenya watakuwa watumwa wa pesa za Kimagharibi na halafu hawatajaribu kujisaidia. Je unafikiri nini? Ni kweli kuna shida nchini Kenya ambazo ni lazima zirekebishe? Unafikiri njia ya kusaidia ipi ni nzuri zaidi? Kwa nini?
Kati ya nchi za Kimagharibi kuna mdahili kuhusu njia nzuri zaidi kusaidia nchi za Ulimwengu wa Tatu kama Kenya. Watu wachache walisema nchi za Kimagharibi ziipe Kenya pesa na ziambie kampuni za Kimagharibi kutega uchumi nchini Kenya. Lakini watu wengine wanasema kwamba njia nzuri zaidi ni kwa vyama vya kusaidia (kama Samaritan's Purse) na watu wenyewe waingie Kenya na kusaidia. Wanasema hivyo kwa sababu wanasema serikali ya Kenya ni fisadi na itapoteza pesa. Na watu wengine wanasema Kenya inaweza kujisaidia, ina pesa za kutosha na itasababisha taabu yenyewe. Wanasema pia ikiwa nchi za Kimagharibi watasaidia Kenya, watu wa Kenya watakuwa watumwa wa pesa za Kimagharibi na halafu hawatajaribu kujisaidia. Je unafikiri nini? Ni kweli kuna shida nchini Kenya ambazo ni lazima zirekebishe? Unafikiri njia ya kusaidia ipi ni nzuri zaidi? Kwa nini?
Subscribe to:
Posts (Atom)